On Sale from 110,000.00 TZS
Regular price150,000.00 TZSSale
Damas J.
Almasi-shop Asanteni sana, Nimepokea Zawadi yangu kama Mlivyoniahidi, Zawadi imekuwa Nzur mno kwangu,
Nilikuwa nawaza namna ya kufunga Taa za Solar ndani, Lakini mmenipatia Jawabu kwani Taa ni nzur, zina Mwanga Mkali wa Kusomea bila shida umeme ukikata unatumia taa za Solar Muda Mrefu,
Mimi niliweza kuzima Umeme nikawa natumia taa za Solar zaidi ya Masaa 6 zikwaka Mwanga mkali kabisa,
Ahsanteni sana! Ntaendelea kuwa Balozi wenu kuahakisha kero ya Giza umeme ukikatika itabaki kuwa storia!
Manase G.
Nimefunga bulb moja bafuni kwangu.Nikiwa naoga umeme ukikatika nakua naendelea kupata mwanga.Hakuna kuoga gizani tena umeme ukikatika.Nitawaletea wateja wengi wa huku Kasulu
Selemani M.
Mwanga wa bulb ni mzuri.Ni wa LED haswa.Ilibidi nijaribu bulb mbili kwanza kuona kama zitanifaa.Nataka kubadilisha bulb zangu zote za nyuma ziwe za mtindo huu ili umeme ukikatika niendelee kua na mwanga
choosing a selection results in a full page refresh
Access Restricted
Access to this store is restricted from your location.