CAMERA BORA ZA SOLAR
Camera nzuri za uhakika
Camera hizi ni nzuri sana kwa maeneo ambayo umeme hamna(au kukatika mara kwa mara) kama vile ma go down,site na mashamba.Ni camera zinazodumu muda mrefu na ni imara sana.
CAMERA YA SOLAR IKIWA IMESHAFUNGWA
Kufunga Camera hii ni Rahisi sana
Camera hii ya solar sio ngumu kuifunga.Tutaweza kukuelekeza namna ya kuifunga.Unahitaji tu kua na simu ya mkononi na line ya simu.Alaf pia camera hii haiingizi maji hivyo hata kipind cha mvua hutopata shida yoyote
INAKUJA NA SOLAR PANEL YAKE
Ni camera ya solar
Hii Camera inakuja kabisa na panel yake pembeni.Ndani ya camera tayar kuna betri kubwa la kutunza chaji.Hivyo hata kipind kukiwa hamna jua, bado camera itaendelea kufanya kazi.
NAMNA CAMERA YAKE INAVYOONESHA PICHA NA VIDEO
Hii ni HD Camera
Camera hii ya lens 3 ni HD kabisa.Ina ubora mzuri wa picha na video.Pia utaweza kuongea sauti na wakakuskia walio karibu na camera
ONGEZA ULINZI KWA MAZINGIRA YAKO
PATA OFA YA
PUNGUZO
Pata camera za uhakika za solar .Zina warranty ya miaka miwili.Ni camera nzuri zinazorekodi picha na video kwa HD kabisa.Kwa kuthamini wateja wetu.Ukinunua zaidi ya camera moja tutakupunguzia bei
MASWALI YANAYOULIZWA NA WATEJA WENGI
Jibu: Utahitaji tu line ya simu ya 4G ya mtandao unaoshika vizuri eneo hilo. Na pia utahitaji simu ya smartphone ili uweze kuunganisha na camera
Swali NO2: Camera inaona hadi umbali gani?
Jibu: Camera hii inaweza kuona hadi mita 100 na inazunguka pande zote.
Swali NO3: Hii camera inatumia bando?
Jibu: Ndio.Inatumia bando kwa kias cha kawaida.Na kwa kua utakua umeweka memory card ya kuhifadh matukio , utajiunga kifurushi tu cha kawaida ili uweze kuona matukio live ukiwa popote.
Swali No4: Ntaweza kuona matukio nikiwa eneo lingine tofauti na ilipo Camera?
Jibu: Ndio.Hata ukiwa nje ya nchi utaweza kuona matukio vizuri kabisa tena live yaan muda huo huo yakiwa yanatokea
Swali No5: Inarekodi picha na sauti?
Jibu: Ndio.Inaweza kurekodi video na sauti na pia utaweza hadi kuongea na kuzungumza kwa sauti na wale waliopo karibu na Camera.
Swali no6: Vipi kuhusu maji yaan wakat wa mvua?
Jibu: Hii camera haiingizi maji na ni imara kweli kweli.Ni nzuri sana kwa matumizi ya nje kwani ina uwezo wa kustahimili vitu vingi.
Swali no7: Naweza kuifunga mwenyewe nyumbani?
Jibu: Ndio.Camera hii ni rahisi sana kuifunga.Unahitaji tu kua na line ya simu ya 4G na simu ya mkononi ya smartphone. Tutakupa maelezo ya namna ya kuifunga ambayo ni mafupi sana. Wateja wengi sana wameweza kufunga wenyewe bila kuhitaji fundi.