Daudi M.
Hii taa ni kiboko.Nimefunga hii ya wawa 600W.Aisee mpaka boss wangu kaniambia wiki ijayo ataagiza tena kutoka kwenu.Hapa nimefunga kwenye parking ya ofisi.Inapiga mwanga eneo kubwa sana.Nadhani hata project za serikali hii itafaa kabisa.Wiki ijayo subiri simu yangu
Danford M.
Tayari fundi wenu kashaifunga hii taa. Usiku inawaka vizuri hadi getini.Ulinzi sasa utaimarika kila kona.Na ntaongeza zingine kwa ajili ya nyuma ya nyumba. Nimeelewa ubora wake.Mwanga ni mkali sana kulinganisha na taa zingine nlizowah funga huko nyuma.
Jackson K.
Taa imenifikia salama.Nipo na fundi hapa tunaifunga.Nkipata changamoto yoyote ntakutafuta.Asanteni kwa uaminifu wenu
Ryan M.
Fundi kashanifungia taa moja hapa Masaki.Mi ni mteja wenu wa muda mrefu.Hii taa nimependa namna ilivyo na mwanga mkali.Alaf umeniambia ni wawa watt400, sasa hio watt600 unayouza itakuwaje mwanga wake?. Endeleeni kuleta vitu vyenye ubora zaidi.
Said A.
Mmenifungia hii taa ya solar hapa Kijichi.Nimeridhika na ubora wa hii taa.Ntamshauri boss wangu aongeze taa zaidi kwa ajili ya hapa parking.Mwanga ni mkali zaidi ya taa zingine za solar ambazo nimewah kuziona.Nadhani tutajitahidi tuagize tena nyingine wiki ijayo.