Street Light With CCTV Camera – Almasishop


Street Light With CCTV Camera
Street Light With CCTV Camera
Street Light With CCTV Camera
Street Light With CCTV Camera
Street Light With CCTV Camera
Street Light With CCTV Camera
Street Light With CCTV Camera
Street Light With CCTV Camera

Street Light With CCTV Camera

300,000.00 TZS
399,000.00 TZS
Lens
  • Three View
  • Single Lens

Instock(available)

 

Tech Specs

Product options
  • Lens Three View, Single Lens
Vendor
Collections
main-image-5_2_89df828a-a09e-4294-86df-5cc830000ced

TAA NZURI YA SOLAR

Ni taa ya uhakika
Taa hizi za solar zenye watt450, zimekua zikisifiwa sana kwasababu ya namna ambayo zilivyo simple.Ufungaji wake ni rahisi na pia camera ni HD kabisa

INAZUNGUKA PANDE ZOTE KUONA MATUKIO

Camera yake ina sifa ya PTZ
Camera za kwenye taa zinasifika kwa namna zinavyokua na uwezo wa kuona pande zote.Wakati jicho moja la chini likiwa linazunguka bas lingine la juu linakua linaangalia mbele kuna nini.Hii itakufanya mteja wetu uweze kuona matukio kwa ustadi wa hali ya juu
video_for_pic-Cover
WhatsApp_Image_2025-06-19_at_16

ONGEZA ULINZI KWA MAZINGIRA YAKO

PATA OFA YA
PUNGUZO
Pata taa za uhakika za solar zenye camera .Zina warranty ya miaka miwili.Ni taa nzuri zinazorekodi picha na video kwa HD kabisa
WhatsApp_Image_2025-06-10_at_00

NAMNA CAMERA YAKE INAVOONESHA PICHA NA VIDEO


Camera ya hii taa ni HD kabisa.Ina ubora mzuri wa picha na video.Pia utaweza kuongea sauti na wakakuskia walio karibu na camera

MASWALI YANAYOULIZWA NA WATEJA WENGI


Swali NO1: Nahitaji kua na vitu gani ili niweze kufunga hii taa?

Jibu: Utahitaji tu line ya simu ya 4G ya mtandao unaoshika vizuri eneo hilo.  Na pia utahitaji simu ya smartphone ili uweze kuunganisha na camera

Swali NO2: Camera inaona hadi umbali gani?

Jibu: Camera hii inaweza kuona hadi mita 100 na inazunguka pande zote.

Swali NO3: Hii camera inatumia bando?

Jibu: Ndio.Inatumia bando kwa kias cha kawaida.Na kwa kua utakua umeweka memory card ya kuhifadh matukio , utajiunga kifurushi tu cha kawaida ili uweze kuona matukio live ukiwa popote.

Swali No4: Ntaweza kuona matukio nikiwa eneo lingine tofauti na ilipo Camera?

Jibu: Ndio.Hata ukiwa nje ya nchi utaweza kuona matukio vizuri kabisa tena live yaan muda huo huo yakiwa yanatokea

Swali No5: Inarekodi picha na sauti?

Jibu: Ndio.Inaweza kurekodi video na sauti na pia utaweza hadi kuongea na kuzungumza kwa sauti na wale waliopo karibu na Camera.

Swali no6: Vipi kuhusu maji yaan wakat wa mvua?

Jibu: Hii camera haiingizi maji na ni imara kweli kweli.Ni nzuri sana kwa matumizi ya nje kwani ina uwezo wa kustahimili vitu vingi.

Swali no7: Naweza kuifunga mwenyewe nyumbani?

Jibu: Ndio.Taa hii ni rahisi sana kuifunga.Unahitaji tu kua na line ya simu ya 4G na simu ya mkononi ya smartphone. Tutakupa maelezo ya namna ya kuifunga ambayo ni mafupi sana. Wateja wengi sana wameweza kufunga wenyewe bila kuhitaji fundi.



yCXeILIKUPATADISCOUNTBONYEZAADDTOCARTKKISHACHAGUAIDADIALAFUNDOUBONYEZECHECKOUT_2_480x480_edabfe92-69de-4056-ad05-4143e80e70ec